Tokeo Lililofikiwa kwa Kumjua Mungu
Mpaka siku moja,
utahisi kuwa Muumba
sio fumbo tena,
kwamba Muumba hajawahi kufichwa kutoka
kwako,
kwamba Muumba
hajawahi kuificha sura Yake kutoka kwako,
kwamba Muumba hayuko mbali na wewe hata
kidogo,
kwamba Muumba siye Yule unayemtamania
katika mawazo yako
lakini kwamba huwezi kumfikia na hisia
zako,
kwamba Anasimama kwa kweli kama mlinzi
kulia na kushoto kwako,
Akiruzuku maisha yako, na kudhibiti
majaliwa yako, kudhibiti majaliwa yako.
Hayuko katika upeo wa mbali, wala
hajajificha juu mawinguni.
Yuko kando yako, akiwa na mamlaka juu ya
kila kitu chako,
Yeye ni kila kitu ulicho nacho, na Yeye ni
kitu pekee ulicho nacho.